Monday, August 25, 2014

Wageni wa Anga (Aliens)

Mgeni wa anga (Alien / Extraterrestrial)
Mgeni asiye wa dunia hii, au mgeni wa anga ya nje, ni kiumbe ambacho hakitoki Ardhi. Bunilizi ya kisayansi mara nyingi huwachora wageni wa anga wakiwa na umbo la binadamu au reptilia, ngozi ya kijani-kijivu na kichwa kikubwa chenye umbo la kitunguu, pamoja na viungo vinne. Asili yao kuu ya ubadilishaji ni vyombo vya anga ambavyo vinaweza kusafiri kwa kasi ya kupotosha. Pia wao hujulikana kutengeza miviringo ya mazao, kuwateka binadamu kwa kuwainua ndani ya meli yao kwa mwale wa kusafirisha na kuchunguza kwa undani mapengo ya mwili.

An extraterrestrial alien, or visitor from outerspace, is a being that does not originate from Earth. Science fiction has often depicted aliens with humanoid or reptilian forms, having greenish-gray skin with a large bulbous head, as well as four limbs. Their main source of transportation is spaceships that can travel at warp-speed. They are also known to make crop-circles, abduct humans by beaming them up into their ship and probe their bodily cavities.

Mbari zingine za wageni wa anga (Other alien races)
Mbari za wageni wa anga, kama vile wadudu wa anga, zina uwezo wa kutia mimba mwenyeji kwa yai na wakati kiini tete kimekua, mwenyeji huwa sisimizi wa anga au buibui. Katika makunda wao, hutumia “akili ya mzinga” na kupitisha kumbukumbu kwa wenyeshi wao.

Alien races such as the space bugs, have the ability to impregnate a host with an egg and when the embryo is grown, the host becomes a space ant or spider. Within the brood, they use a “hive mind” to pass memory to their hosts.

1 comment: