Tuesday, August 26, 2014

Huntha (Hermaphrodites)

Huntha (Hermaphrodite)
Huntha ni mtu aliyezaliwa na viungo vya uzazi vya kiume na vya kike pamoja.
A hermaphrodite is person born with both male and female sexual organs.

Hermafrodaiti (Hermaphroditus)
Katika mitholojia ya Kigiriki, Hermafrodaiti alikuwa mwana wa Afrodaiti na Herme. Kulingana na Ovidi, alizaliwa mvulana mrembo sana, akabadilishwa kuwa kiumbe mwenye jinsia mbili kwa muungano na nimfi wa maji aliyeitwa Salmasisi. Jina lake ni msingi wa neno la Kiingereza hermaphrodite, yaani "huntha".

In Greek mythology, Hermaphroditus was the son of Aphrodite and Hermes. According to Ovid, he was born a very beautiful boy, and was transformed into an androgynous being by the union with the water nymph Salmacis. His name is the basis of the English word hermaphrodite, which is "huntha" (in Swahili).

No comments:

Post a Comment