Monday, August 25, 2014

Kambioni (Cambions)

Kambioni (Cambion)
Kambioni ni istilahi inayotumiwa kurejelea mtoto aliye nusu-binadamu anayetokana na muungano kati ya inkubu na mwanamke binadamu. Hekaya maarufu zaidi ya kisa kama hiki ni ya Merlini, mganga maarufu kutoka hekaya ya KiarthuriKulingana na “Nyundo ya Mchawi” iliyoandikwa na Heinrich Kramer mwaka wa 1486 (sukubu na inkubu ni shetani sawa ambao wana uwezo wa kubadilisha umbo kati ya uume na kike). Baada ya sukubu kukusanya manii kutoka kwa wanaume anaolala nao, yeye hujibadilisha kuwa inkubu na kutumia mbegu kutia mimba wanawake, hivyo kueleza jinsi pepo wabaya anavyoweza kuzaa watoto licha ya kwamba kuna imani ya kitamaduni kuwa hawana uwezo wa kuzaa. Katika elimu ya Kivikingi mtoto huzaliwa akiwa na ulemavu na huathirika kwa urahisi zaidi athari zisizo za dunia kwa sababu utungaji mimba wao si wa kawaida.

A cambion is a term used to refer to the half-human offspring of the union between an incubus and a human woman. The most famous legend of such a case includes that of Merlin, the famous wizard from Arthurian legend. According to the “Witch’s Hammer” written by Heinrich Kramer in 1486 (succubi and incubi are the same demon, able to switch between male and female forms). Once the succubus collects the semen from the men she sleeps with, she then transforms into an incubus to use that seed to impregnate women, thus explaining how these demons could apparently sire children despite the traditional belief that they were incapable of reproduction. In Viking lore the child is born deformed and more susceptible to supernatural influences because the conception was unnatural.

No comments:

Post a Comment