Sunday, January 27, 2013

Mhadasi (Myrtle)

Mhadasi (Myrtle)
Mihadasi (Myrtles)

Mhadasi (kutoka Kiebrania:  הדס hadas) ni jenasi ya spishi moja au mbili za mimea inayochanua katika familia ya Myrtaceae, inayopatikana kusini mwa Ulaya na kaskazini mwa Afrika. Mmea huo ni mti mdogo au kichaka chenye majani mwaka mzima ambacho hukua hadi mita 5 kwa urefu. Matunda yake ni beri ya mviringo yenye mbegu nyingi za buluu nyeusi.

The myrtle (from Hebrew: הדס hadas) is a genus of one or two species of flowering plants in the Myrtaceae family, found the south of Europe and the north of Africa. The plant is a small evergreen tree or bush that grows up to 5 meters tall. Its fruits are round berries with many dark blue seeds.

2 comments: