Friday, January 25, 2013

Aina za Njugu (Types of Nuts)

Aina za njugu (Types of nuts)


Aramoni Chestnut
Hazeli Hazelnut
Jozi Walnut
Karanga Peanut
Korosho Cashew
Kungu Indian almond
Lozi Almond
Makadamia Macadamia
Nazi Coconut
Njugu ya Brazili Brazil nut
Njugu ya mfune Beech nut
Njugu ya mginko Ginkgo nut
Njugu ya mkola Cola nut
Njugu ya msonobari Pine nut
Pekani
Pista (njugu ya pistachio)
Pecan
Pistachio
Siagi ya karanga Peanut butter

40 comments:

  1. hello..
    jinsi gani naweza kununua online hivyo viungo vya pilau kwa sababu mimi niko canada

    ReplyDelete
    Replies
    1. Je unahitaji? Ninaweza kukutumia kutoka Tanzania.

      Delete
  2. Badala ya neno fistiki (pistachio)neno bora ni pista ambalo lilikuwa likitumika Zanzibar wakati mabaharia kutoka Uajemi walipokuwa wakileta hizo pista pamoja na lozi kuuza.

    ReplyDelete
  3. vizuri mnavyotafsiri hivi maana watu sasa wanafahamu vinaitwaje kwa lugha yao.hivyo inakuwa rahisi kuvielewa zaidi

    ReplyDelete
  4. Kazi safi Ndugu Maliki. For all your Swahili and Other African languages translations feel free to also contact me on msonobari@gmail.com

    ReplyDelete
    Replies
    1. What is bitter cola in swahili.

      Delete
  5. Nahitaji walnuts nitazipata wadi?

    ReplyDelete
  6. Hapo sijaiona njugu mawe.
    Njugu mawe inaitwaje kwa kingereza.
    Naomba msaada

    ReplyDelete
  7. Tigernut inaitwaje kwa kiswahili??

    ReplyDelete
  8. Nimefurahi kuona hii karatasi ya mtandaoni. Nitafurahi kuendelea kupata ujumbe kola mara.

    ReplyDelete
  9. Ahsante sana. Kiswahili kitukuzwe

    ReplyDelete
  10. Naweza pata walnuts kwa Bei ya jumla?

    ReplyDelete
  11. Where can I get bitter nuts in Tanzania?

    ReplyDelete
  12. Naomba kujua kiswahili cha walnut

    ReplyDelete
  13. nahitaji kujuwa jina la swahili la bitter kola

    ReplyDelete
  14. email kilimochakisas2"gmail.com, najihusisha na uuzaji wa njugu zote

    ReplyDelete
  15. Sjaweza kujua jina la bitter cola kwa Kiswahili. Ni vigumu kupata dawa hii ktk masoko ya Uswazi ya Bongo bila kujua Kiswahili chake.!

    ReplyDelete
  16. Vanilla inapatikana hapa ,mbegu na utaratibu wote wa ulimaji +255743095524

    ReplyDelete
    Replies
    1. habari yako ndugu yangu na asubuhi njema,samahani ndugu yangu hii vanilla kilimo chake nitaweza pata maelekezo kamili kwa ihsani yako na gharama za awali hadi kuvuna please?nitashukuru sana na pia waweza nitumia ima kwenye whatsapp au telegram zote namba hii:0784239393

      Delete
    2. habari yako ndugu yangu na asubuhi njema,samahani ndugu yangu hii vanilla kilimo chake nitaweza pata maelekezo kamili kwa ihsani yako na gharama za awali hadi kuvuna please?nitashukuru sana na pia waweza nitumia ima kwenye whatsapp au telegram zote namba hii:0784239393

      Delete
    3. habari yako ndugu yangu na asubuhi njema,samahani ndugu yangu hii vanilla kilimo chake nitaweza pata maelekezo kamili kwa ihsani yako na gharama za awali hadi kuvuna please?nitashukuru sana na pia waweza nitumia ima kwenye whatsapp au telegram zote namba hii:0784239393

      Delete
    4. habari yako ndugu yangu na asubuhi njema,samahani ndugu yangu hii vanilla kilimo chake nitaweza pata maelekezo kamili kwa ihsani yako na gharama za awali hadi kuvuna please?nitashukuru sana na pia waweza nitumia ima kwenye whatsapp au telegram zote namba hii:0784239393

      Delete
  17. Je!Tigernut unayo na kwa kiswahili tunaihitaje??

    ReplyDelete
  18. Hello naitaji izo mbegu za jozi nitapata wapi nipo dar tanzania

    ReplyDelete
  19. Napenda kujua Bitter kola kwa kiswahili

    ReplyDelete
  20. Njugu ya mkola inapatikana wap Tanzania

    ReplyDelete
  21. Which is the best peanut for a man,red or white njugu karanga

    ReplyDelete
  22. Tupe maana ya "bitter cola" tafaduali kwa anayeijua kwa kiswahili atusaidie please.

    ReplyDelete