Friday, March 9, 2018

mchezo wa mpira wa miguu

mchezo wa mpira wa miguu (the game of football)
kandanda ya Marekani (American football)
yenye umbo la yai (oval[-shaped])
ya bandia (artificial; fake)
yadi (yard)
kwa urefu (in length; ~ long)
kwa upana (in width; ~ wide)
majani mororo [na udongo wake] (turf; lit. soft grass [and its soil])

Mchezo wa mpira wa miguu, au kandanda ya Marekani, ni mchezo wa kikundi kati ya timu mbili za wachezaji kumi na moja unaochezwa kwa kutumia mpira wenye umbo la yai uliotengenezwa kwa ngozi ya nguruwe kwenye uwanja wa mstatili wenye majani mororo wa sanisia ulio yadi 120 kwa urefu na yadi 53.3 kwa upana ukiwa na goli pande zote mbili.

The game of football, or American football, is a team sport between two teams of eleven players that is played by using a oval ball made of pig skin on a rectangular field with artificial turf that is 120 yards long and 53.3 yards wide having goalposts at both ends.

1 comment:

  1. Mpira wa miguu ni "soccer" (vilevile unaitwa "soka"). Sio kandanda ya Marekani.

    ReplyDelete