Thursday, March 8, 2018

kandanda

kandanda (football)
soka (soccer)
mchezaji kandanda (footballer)
mpira wa soka (soccer ball)
yenye mirabamiraba (checkered)
timu pinzani (opposing team)

Kandanda, pia huitwa soka, ni mchezo kati ya timu mbili ya wachezaji kandanda kumi na mmoja uliochezwa kwa kupiga teke mpira wa mviringo wenye mirabamiraba kuelekea upande wa goli ya timu pinzani iliyo katikati ya kila upande fupi katika uwanja wa mstatili wa nyasi.

Football, also called soccer, is a sport between two teams of eleven footballers played by kicking a spherical checkered ball towards the opposing team's side of the goal in the middle of each short end on a rectangular field of grass.

No comments:

Post a Comment