Thursday, November 29, 2012

Watu-X #2 (The X-Men #2)

Watu-X dhidi ya Mtowekaji (The X-Men versus the Vanisher)
Hakuna awezaye kumshika Mtowekaji (No one can hold the Vanisher)

Mtowekaji, mwovu mwenye jeni-X aliye na uwezo wa kujihamisha kutoka mahali pamoja kwenda pengine papo hapo, aliibia benki ya taifa na kusaliti Pembetano (makao makuu ya jeshi la Marekani). Watu-X wampinga yeye alipokuwa akiibia ramani za ulinzi wa serikali. Hata hivyo, hawakuweza kupigana na mhalifu huyo, kwa sababu akajihamisha nje ya masafa. Profesa X aliwaokoa kwa kumzuia Mtowekaji asitumie uwezo wake wa pekee kwa kutumia akili yake tu.

The Vanisher, an evil mutant with the power of teleportation (to transport himself from one place to another in an instant), robbed the national bank and blackmailed the Pentagon (the main headquarters of the American army). The X-Men face him, as he was stealing the government's defense plans. However, they were unable to fight this villain, because he teleported out of range. Professor X saved them by preventing the Vanisher from using his mutant powers with only his mind.


No comments:

Post a Comment