Saturday, November 10, 2012

Mshenzi (Feral)

 
Mshenzi (Feral)

Mshenzi ni mhusika wa bunilizi anayetokea katika Ulimwengu wa Marvel. Yeye amekuwa shujaa na pia mhalifu na pia anajulikana kama mwanachama wa Nguvu-X. Mshenzi alipojaribu kutoroka kutoka mtawala dhalimu wa Morloki aitwaye Maskhara, akaokolewa na Kebo kutoka kwa Maskhara, na akajiunga na timu ya Kebo ili kuwa mwanachama wa Nguvu-X .  Yeye ni mpiganaji mkatili kutokana na matayarisho yake pamoja na Kebo. Yeye ana mutesheni ya paka iliyompa kucha na chonge kali, hisia kali za ajabu, uwezo wa kuona kwenye giza, nguvu iliyozidishwa, uwezo wa kujiponya haraka, mkia na manyoya ya machungwa yanayofunika mwili wake.
 
Feral is a fictional character appearing in the Marvel Universe. She has been both a hero and a villain and is also known as a member of X-Force. When Feral tried to escape from the tyrannical ruler of Morlocks named Masque, she was saved by Cable and then joined Cable's team in order to become a member of X-Force. She is a fierce fighter due to her training with Cable. She has a feline mutation that gave her sharp claws and fangs, superhumanly acute senses, the ability to see in the dark, enhanced strength, the ability to heal quickly, a tail and orange fur covering her body.

No comments:

Post a Comment