Wednesday, May 25, 2011

Elki / Muusi (Moose)

Elki au Muusi (pia huitwa Kongoni wa Kaskazini) ni mnyama mkubwa wa Nusudunia ya Kaskazini anayefanana na kongoni mwenye pembe zenye umbo la matawi na manyoya mengi.


Kichwa kikubwaLarge head
Makwato ya shufwaEven-toed hooves
Miguu mirefu ya mbeleLong forelegs
Miguu mirefu ya nyumaLong hindlegs
Mkia mfupiShort tail
Nundu ya begaShoulder hump
Pembe zenye umbo la matawiRamified antlers
Pua inayoning'iniaDrooping muzzle
ShambweleleDewlap

No comments:

Post a Comment