Elki au Muusi (pia huitwa Kongoni wa Kaskazini) ni mnyama mkubwa wa Nusudunia ya Kaskazini anayefanana na kongoni mwenye pembe zenye umbo la matawi na manyoya mengi.
| Kichwa kikubwa | Large head |
| Makwato ya shufwa | Even-toed hooves |
| Miguu mirefu ya mbele | Long forelegs |
| Miguu mirefu ya nyuma | Long hindlegs |
| Mkia mfupi | Short tail |
| Nundu ya bega | Shoulder hump |
| Pembe zenye umbo la matawi | Ramified antlers |
| Pua inayoning'inia | Drooping muzzle |
| Shambwelele | Dewlap |

No comments:
Post a Comment