Monday, February 26, 2018

Watu-X #7 (X-Men #7)

Bonge na Undugu wa Vioja Viovu (Blob and the Brotherhood of Evil Mutants)

Profesa X awaacha Watu-X ili kushughulikia na baadhi ya kazi muhimu na aweka rasmi Saiklopsi kuwa kiongozi wakati ambapo hakuwepo. Magneto ampata Bonge kwenye kanivali na baada ya vizuizi vya akilini mwake, vilivyowekwa humo na Profesa X, kubomolewa, Bonge akumbuka mkutano wake na Watu-X. Akitaka kulipiza kisasi, Bonge ajiunga na Undugu wa Magneto. Kwa wakati huu, wahitimu wengine wa Watu-X wanasherehekea mjini, wakati Scott apokeapo ilani kutoka kwa Cerebro kwamba Bonge amerudi. Katika pigano ifuatayo na Watu-X, Bonge atambua kwamba Magneto aona kwamba yeye na wanachama wengine wa timu yake wanaweza kutolewa mhanga. Kwa kweli, ingawa Bonge amesimama katikati ya uwanja wa mapigano, Magneto aendelea kurusha makombora kwenye Watu-X, wakati walipokuwa wamekusanyika katika mahali pamoja. Kwa bahati nzuri, unene wa Bonge uliwalinda Watu-X kutokana na mlipuko huo. Mara tu Magneto na Undugu wakimbiapo, Bonge aamua kurudi kwenye maisha yake ya zamani katika maonyesho ya vioja ya sarakasi.

Professor X leaves the X-Men to deal with some important tasks and appoints Cyclops as leader during his absence. Magneto finds the Blob at the carnival and after his mental blocks, placed in there by Professor X, break down, the Blob remembers his meeting with the X-Men. Wanting revenge, Blob joins Magnet's Brotherhood. In the meantime, the other X-Men graduates are celebrating in town, when Scott receives an alert from Cerebro that the Blob has returned. In the following battle with the X-Men, the Blob realizes that Magneto considers him and his fellow team members expendable. In fact, even though the Blob is standing in the line of fire, Magneto proceeds to fire missiles on the X-Men, while they are gathered together in one place. Fortunately, Blob's corpulence shielded the X-Men from the explosion. Once Magneto and the Brotherhood flee, Blob decides to return to his former life in the circus freakshow.

No comments:

Post a Comment