Uranasi (pia hujulikana kama Zohali na Sarteni) ni sayari ya saba kutoka Jua letu. Kwa Kiingereza sayari hii ilipewa jina la mungu wa mbingu Uranasi (Kiing: Uranus; Kigir: Ουρανός "Ouranós").
| Amonia | Ammonia | 
| Angahewa | Atmosphere | 
| Barafu ya methani | Methane ice | 
| Chuma-nikeli | Nickel-iron | 
| Gesi ya methani | Methane gas | 
| Heli | Helium | 
| Hidrojeni | Hydrogen | 
| Kiini cha mwamba | Rocky core | 
| Koti | Mantle | 
| Maji | Water | 
| Majira | Season | 
| Majira ya baridi | Winter | 
| Majira ya joto | Summer | 
| Ncha ya kaskazini | North pole | 
| Ncha ya kusini | South pole | 
| Peteo | Ring | 
| Silikati | Silicate | 
| Uranasi | Uranus | 
 

 
No comments:
Post a Comment