Monday, October 8, 2012

Mazimwi Wala-maiti (Ghouls)

Zimwi mla-maiti (Ghoul)
Mazimwi wala-maiti (Ghouls)

Zimwi mla-maiti ni dubwana ovu la Mesopotamia linalohusishwa na mava, nyanja za makaburi na kula miwili ya binadamu, mara nyingi likiorodheshwa kama wafu hai. Viumbe hivi hufikiriwa kuishi makaburini na sehemu zingine kusipokuwa watu.
 
A ghoul is an evil Mesopotamian monster associated with cemeteries, graveyards and consuming human flesh, often classified as the undead. These creatures are thought to dwell in burial grounds and other uninhabited places.

mla-maiti (man-eating)
dubwana (monster)
mava (pl.; cemetery)
uwanja wa makaburi (graveyard)
mfu hai (living dead)

No comments:

Post a Comment