Showing posts with label Mitholojia (Mythology). Show all posts
Showing posts with label Mitholojia (Mythology). Show all posts

Wednesday, August 27, 2014

Uranasi (Uranus)


Uranasi (Uranus)

Uranasi alikuwa mungu Mgiriki wa mbingu. Mwenzi wake wa Kirumi alikuwa Caelus. Katika fasihi ya Ugiriki Mkongwe, Uranasi au Baba Mbingu alikuwa mwana na mume wa Gaya, Mama Dunia. Kulingana na Theogonia ya Hesiodi, Uranasi alizaliwa na Gaya tu bila baba, lakini vyanzo vingine visema kuwa Etha alikuwa baba yake. Uranasi na Gaya walikuwa wazazi wa kizazi cha kwanza cha Titani, na wahenga wa miungu Wagiriki. Uranasi huwa hatokei kwenye vyombo vya udongo vilivyopakwa rangi vya Kigiriki.

Uranus was the Greek god of the sky. His Roman counterpart was Caelus. In Ancient Greek literature, Uranus or Father Sky was the son and husband of Gaea, Mother Earth. According to Hesiod's Theogony, Uranus was born to Gaea alone without a father, but other sources say that Æther was his father. Uranus and Gaea were the parents of the first generation of Titans, and the ancestors of the Greek gods. Uranus does not usually appear on Greek painted pottery.

Demita (Demeter)


Demita (Kiing.: Demeter; Kigir.: Δήμητρα "Dḗmētra")

Demita ni mungu-jike wa mavuno ambaye hudhibiti nafaka na uoto wa Dunia katika dini ya Ugiriki Mkongwe. Mwenzi wake wa Kirumi ni Seresi. Alama zake ni konukopia, nafaka, nyoka na shayiri.

Demeter is the goddess of the harvest who controls grains and Earth's vegetation in Ancient Greek religion. Her Roman counterpart is Ceres. Her symbols are the cornucopia, cereal, snakes and barley.

Tuesday, August 26, 2014

Hera (Hera)


Hera (Hera; Kigir.: Ήρη "Ḗrē") / Juno (Juno; Kilat.: Iuno)

Hera ni mke na mojawapo wa dada wa Zeu katika dini na mitholojia ya Kigiriki. Yeye ni mungu-jike wa wanawake na ndoa. Mwenzi wake wa Kirumi ni Juno. Alama zake ni ng'ombe, simba, tausi na matofaa.

Hera is the wife and one of the sisters of Zeus in the Greek religion and mythology. She is the goddess of women and marriage. Her Roman counterpart is Juno. Her symbols are the cow, the lion, the peacock and apples.

Poseidoni (Poseidon)


Poseidoni (Poseidon; Kigir.: Ποσειδώνας "Poseidṓnas") / Neptuni (Neptune; Kilat.: Neptūnus)

Poseidoni ni mojawapo wa Waolimpo Kumi na Wawili katika mitholojia ya Kigiriki. Himaya kuu yake ni bahari na anaitwa "Mungu wa Bahari". Yeye pia hujulikana kama Neptuni katika mitholojia ya Kirumi na kama Nethuns katika mitholojia ya Kietruski. Alama zake ni chusa chenye vyembe vitatu, farasi, msonobari na dolfini.

Poseidon is one of the Twelve Olympians in Greek mythology. His main domain is the sea and is called the "God of the Sea". He is also known as Neptune in Roman mythology and as Nethuns in Etruscan mythology. His symbols are a three-pointed harpoon, horses, the pine tree and dolphins.

Hestia (Hestia)


Hestia (Hestia; Kigir.: Εστία "Hestía")

Katika dini ya Ugiriki Mkongwe, Hestia ni mungu-jike wa bikira wa meko, usanifu majengo wa Ugiriki Mkongwe, familia na jimbo. Katika mitholojia wa Kigiriki, yeye ni binti was Kronu na Rea. Alama zake ni mkate, moto, nguruwe na mti wa usafi. Mwenzi wake wa Kirumi ni Vesta.

In the religion of Ancient Greece, Hestia is the virginal goddess of the hearth, Ancient Greek architecture, family and the state. In Greek mythology, she is the daughter of Cronus and Rhea. Her symbols are bread, fire, pig and the chaste tree. Her Roman counterpart is Vesta.

Zeu (Zeus)


Zeu (Zeus) (Kigir.: Ζευς or Δίας "Zeus / Días", Kilat.: Iuppiter)
Zeu ni "baba wa miungu na binadamu" ambaye hutawala miungu Waolimpo wanaoishi Mlimani mwa Olimpo. Yeye ni mungu wa mbingu wa radi na ni mfalme wa miungu katika mitholojia ya Kigiriki. Mwenzi wake wa Kirumi ni Jupita. Alama zake ni tai, fahali na mwaloni. Kulingana na mitholojia ya Kietruski, yeye hujulikana kama Tinia.

Zeus is the "father of gods and men" who rules the Olympians gods living on Mount Olympus. He is the god of the sky and thunder and is the king of the gods in Greek mythology. His Roman counterpart is Jupiter. His symbols are the eagle, bull and oak tree. According to Etruscan mythology he is known as Tinia.

Afrodaiti (Aphrodite)


Afrodaiti (Aphrodite)
Afrodaiti ni mungu-jike Mgiriki wa upendo, urembo na ngono. Mwenzi wake wa Kirumi ni Venusi. Kulingana na Theogonia ya Hesiodi, alizaliwa kutoka kwa povu ya bahari. Hata hivyo, kulingana na Iliadi ya Homeri, yeye ni binti wa Zeu na Dione. Kulingana na Plato, kuna Afrodaiti mbili: Aphrodite Ourania (Afrodaiti wa Mbingu) na Aphrodite Pandemos (Afrodaiti wa Kawaida). Alama zake ni mhadasi, njiwa na saladi. Katika mitholojia ya Kietruski, yeye hujulikana kama Apru.

Aphrodite is the Greek goddess of love, beauty and sex. Her Roman counterpart is Venus. According to Hesiod's Theogony, she was born from sea foam. However, according to Homer's Iliad, she is the daughter of Zeus and Dione. According to Plato, there are two Aphrodites: Aphrodite Ourania (Celestial Aphrodite) and Aphrodite Pandemos (Common Aphrodite). Her symbols are the myrtle, dove and lettuce. In Etruscan mythology she is known as Apru.

Apolo (Apollo)


Apolo (Apollo)

Apolo ni mojawapo wa miungu muhimu zaidi wa Olimpo katika dini na mitholojia ya Kigiriki na ya Kirumi. Apolo ni mungu wa mwanga na jua, ukweli na ubashiri, muziki na shairi. Apolo ni mwana wa Zeu na Leto na ana dada pacha, mwindaji Artemisi. Alama zake ni lairi (kinubi kidogo cha Kigiriki), mbei (aina ya laurusi) na kunguru. Katika mitholojia ya Kietruski, yeye hujulikana kama Apulu.

Apollo is one of the most important gods of Olympus in the Roman and Roman religion and mythology. Apollo is the god of light and the Sun, truth and prophecy, music and poems. Apollo is the son of Zeus and Leto and he has a twin sister, the huntress Artemis. His symbols are the lyre (a little Greek harp), the bay tree (a type of laurel) and the crow. In Etruscan mythology, he is known as Apulu.

Theogonia (The Theogony)


Mungu (God)
Mungu-jike (Goddess)
Mwolimpo, Waolimpo (Olympian, Olympians)
Mungu wa Olimpo (Olympian God)
Kiolimpo (Olympic)
Aelo Aëllo
Afrodaiti Aphrodite
Aglaya Aglaea
Airisi Iris
Alekto Alecto
Algea Algea
Amfilojia The Amphilogiai
Androktasia The Androktasiai
Apate Apate
Apolo Apollo
Aresi Ares
Argesi Arges
Artemisi Artemis
Asklepio Asclepius
Asteria Asteria
Astrea Astrea
Astreu Astraeus
Ate Ate
Athena Athena
Atlasi Atlas
Atropo Atropos
Aukso Auxo
Bia Bia
Boreasi Boreas
Briareu Briareus
Bronte Brontes
Deimosi Deimos
Deino Deino
Demita Demeter
Dioniso Dionysus
Disnomia Dysnomia
Enyo Enyo
Eosi Eos
Epifroni Epiphron
Epimetheu Epimetheus
Erato Erato
Erebu Erebus
Erisi Eris
Erosi Eros
Etha Æther
Eufrosine Euphrosyne
Eurasi Eurus
Euriale Euryale
Euribia Eurybia
Euterpe Euterpe
Fantasu Phantasus
Filotesi Philotes
Fobetori Phobetor
Fobosi Phobos
Foibe Phoebe
Fonoi The Phonoi
Fosisi Phorcys
Fujo Chaos
Gaya Gaea
Gogoni The Gorgons
Hadesi Hades
Haiperioni Hyperion
Harmonia Harmonia
Hebe Hebe
Hefesto Hephaestus
Hekate Hecate
Hekatonkeri The Hecatoncheires
Heliosi Helios
Hemera Hemera
Hera Hera
Herme Hermes
Hesperidi The Hesperids
Hestia Hestia
Himerosi Himeros
Hiponosi Hypnos
Hisminai The Hysminai
Horkosi Horkos
Ilithia Eileithyia
Jaijesi Gyges
Jerasi Geras
Kaliope Calliope
Karpo Carpo
Keresi The Keres
Kleta Cleta
Klio Clio
Klotho Clotho
Kotu Cottus
Koyosi Coeus
Kratosi Kratos
Kriasi Crius
Kronosi Chronos
Kronu Cronus
Lakhesi Lachesis
Lethe Lethe
Leto Leto
Limosi Limos
Madahiro Matatu The Three Graces
Majitu The Giants
Makhai The Makhai
Medusa Medusa
Megaira Megaera
Meliadi The Meliads
Melpomene Melpomene
Menoitio Menoetius
Milima The Ourea
Mito The Potamoi
Miungu wa Majaliwa The Fates
Miungu wa Misimu The Horae
Miungu wa Upepo The Winds
Mnemosine Mnemosyne
Mofeasi Morpheus
Momu Momus
Muza The Muses
Ndoto The Oneiroi
Neikea The Neikea
Nemesisi Nemesis
Nereidi The Nereids
Nereu Nereus
Nike Nike
Niksi Nyx
Notu Notus
Oizisi Oizys
Oseanidi The Oceanids
Oseanu Oceanus
Osipete Ocypete
Palasi Pallas
Pemfredo Pemphredo
Pepo za Ghadhabu The Furies
Perse Perses
Persefone Persephone
Plutosi Plutus
Polihimnia Polyhymnia
Ponosi Ponos
Ponto Pontus
Poseidoni Poseidon
Prometheu Prometheus
Rea Rhea
Saiklopsi The Cyclopes
Selene Selene
Seleno Celaeno
Seto Ceto
Steno Sthenno
Sterope Steropes
Sudologo The Pseudologoi
Taifoni Typhon
Tepsikore Terpsichore
Tethys Tethisi
Thalia Thalia
Thalo Thallo
Thanatosi Thanatos
Thaumasi Thaumas
Thea Thea
Themisi Themis
Tisifone Tisiphone
Urania Urania
Uranu Uranus
Wachawi wa Kijivu The Graeae
Wanawake-ndege The Harpies
Yapeto Iapetus
Zefiro Zephyrus
Zelosi Zelos
Zeu Zeus

Huntha (Hermaphrodites)

Huntha (Hermaphrodite)
Huntha ni mtu aliyezaliwa na viungo vya uzazi vya kiume na vya kike pamoja.
A hermaphrodite is person born with both male and female sexual organs.

Hermafrodaiti (Hermaphroditus)
Katika mitholojia ya Kigiriki, Hermafrodaiti alikuwa mwana wa Afrodaiti na Herme. Kulingana na Ovidi, alizaliwa mvulana mrembo sana, akabadilishwa kuwa kiumbe mwenye jinsia mbili kwa muungano na nimfi wa maji aliyeitwa Salmasisi. Jina lake ni msingi wa neno la Kiingereza hermaphrodite, yaani "huntha".

In Greek mythology, Hermaphroditus was the son of Aphrodite and Hermes. According to Ovid, he was born a very beautiful boy, and was transformed into an androgynous being by the union with the water nymph Salmacis. His name is the basis of the English word hermaphrodite, which is "huntha" (in Swahili).

Monday, October 8, 2012

Nimfi (Nymphs)

Nimfi (Nymph / Nymphs)

Nimfi katika mitholojia ya Kigiriki ni mungu mdogo wa kike wa mazingira mwenye kufanana na hurulaini ambao huishi peponi katika desturi za Kiislamu. Hitilafiana na miungu, nimfi kwa kawaida huchukuliwa kama mapepo ya kimungu ambayo hupa uhai mazingira na kwa kawaida huchorwa kama wanawali warembo ambao hupenda kuimba na kucheza dansi. Wanaaminika kuishi katika milima na vijisitu karibu na chemchemi na mito, na pia kwenye miti na mabonde na groto zenye baridi. Ingawa kwa kawaida hawafi kwa uzee wala ugonjwa, kama wakipandana na mungu, wataweza kuzaa watoto wasiokufa kamili;  hata hivyo, nimfi wenyewe waweza kufa. Kuna aina tano ya nimfi: nimfi wa mbingu, wa bahari, wa ardhi, wa msitu na wa jehanamu.
A nymph in Greek mythology is a minor female deity of nature similar to the houri who live in paradise in Islamic traditions. In contrast to gods, nymphs are generally regarded as divine spirits who animate nature and are usually depicted as beautiful maidens who love to sing and dance. They are believed to live in mountains and groves by springs and rivers, and also in trees and valleys and cold grottoes. Although they generally do not die of old age nor illness, if they mate with a god, they can give birth to fully immortal children; however, nymphs themselves are able to die. There are five types of nymphs: celestial, sea, land, wood and underworld nymphs.

mazingira (nature; environment)
-a kimungu (divine)
kupa uhai (to animate)
mwanamwali (maiden)
kijana (young; youthful)
kucheza dansi (to dance)
kijisitu (grove)
chemchemi (spring)
bonde (valley)
groto (grotto)
-enye baridi (cold)
ingawa (although)
kupandana na (to mate with)
asiyekufa (an immortal)

Wednesday, November 9, 2011

Gaya (Gaea)


Gaya (Kiing.: Gaea; Kigir.: Γαία "Gaía")
Tera (Kiing. & Kilat.: Terra au Tellus)
Mungu mke wa Dunia (Goddess of the Earth)

Katika mitholojia ya Kigiriki, Gaya alikuwa mungu-jike wa Ardhi. Gaya alikuwa mama mkuu wa wote. Mwenzi wake wa Kirumi alikuwa Tera.

In Greek mythology, Gaea wa the goddess of the Earth. Gaea was the great mother of all. Her Roman counterpart was Terra.