Uranasi (pia hujulikana kama Zohali na Sarteni) ni sayari ya saba kutoka Jua letu. Kwa Kiingereza sayari hii ilipewa jina la mungu wa mbingu Uranasi (Kiing: Uranus; Kigir: Ουρανός "Ouranós").
| Amonia | Ammonia |
| Angahewa | Atmosphere |
| Barafu ya methani | Methane ice |
| Chuma-nikeli | Nickel-iron |
| Gesi ya methani | Methane gas |
| Heli | Helium |
| Hidrojeni | Hydrogen |
| Kiini cha mwamba | Rocky core |
| Koti | Mantle |
| Maji | Water |
| Majira | Season |
| Majira ya baridi | Winter |
| Majira ya joto | Summer |
| Ncha ya kaskazini | North pole |
| Ncha ya kusini | South pole |
| Peteo | Ring |
| Silikati | Silicate |
| Uranasi | Uranus |

No comments:
Post a Comment